Exodus 6:2-3
2 aPia Mungu akamwambia Musa, “Mimi ndimi Bwana. 3 bNilimtokea Ibrahimu, Isaka na Yakobo kama Mwenyezi Mungu, ▼▼ Mwenyezi Mungu hapa ni jina la Kiebrania, El-Shaddai (yaani Mungu Mwenye utoshelevu wote).
ingawa sikuwajulisha Jina langu, Yehova, Mimi mwenyewe sikujitambulisha kwao.
Copyright information for
SwhKC